Sunday , 28 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Ajichoma moto kisa ugumu wa maisha
Kimataifa

Ajichoma moto kisa ugumu wa maisha

Spread the love

MTU mmoja mkazi wa Kaunti ya Mombasa nchini Kenya amelazwa katika Hospitali Kuu ya Pwani nchini humo baada ya kupata majeraha baada ya kujijijeruhi kwa moto akikusudia kujiua kutokana na ugumu wa maisha. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea).

Manusura huyo, ambaye anadaiwa kuwa ni mkazi wa Kaunti ya Kiambu, alifika katika mzunguko wa duka kuu la Naivasha na kujichoma mbele ya umati uliokuwa ukipita na kushuhudia tukio hilo.

“Alikuwa akilalamikia gharama ya juu ya maisha kabla ya kutekeleza kitendo hicho. Alianguka chini kutoka jirani na mnara baada ya kuungua kwa muda,” alisema mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo.

Hata hivyo, inadaiwa mtu huyo alikuwa amehitimu Chuo Kikuu cha Nairobi, na alipotezana na familia yake iliyochapisha tangazo kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook wiki iliyopita ikisema kwamba inamtafuta.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

error: Content is protected !!