Saturday , 11 May 2024
Home Kitengo Biashara TZ kupata 60% ya mapato DP World
BiasharaTangulizi

TZ kupata 60% ya mapato DP World

Spread the love

Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Usimamizi Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa leo Jumapili amesema katika mikataba hiyo mitatu, serikali itakuwa inapata ada na tozo kutoka DP World ambazo zitaongeza mapato na zitapunguza gharama za uendeshaji. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea).

Amesema hapo awali serikali imekuwa ikitumia takribani asilimia 90 ya mapato yote yaliyokusanywa katika uendeshaji wa maeneo yanayokodishwa na kubakia asilimia 10 tu.

Amesema kutokana na mikataba hiyo serikali itaweza kubakia na asilimia 60 ya mapato yote ya maeneo ambayo yanakodishwa kwa DP World.

“Faida ya mapato kwa serikali inatokana na maboresho ya huduma za bandari kupitia uwekezaji huu pia itaonekana kwa kiwango cha juu kwenye ukusanyaji wa ushuru unaofanywa na TRA pamoja na mamlaka nyingine zilizopewa jukumu la kukusanya ushuru, tozo na ada mbalimbali katika shehena zinazohudumiwa na bandari ya Dar es Salaam,” amesema.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Biashara

Meridianbet kasino yaja na promo ya mil 200/=

Spread the love  Kimbunga Hidaya kilikuja na madhara makubwa sana katika maeneo...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina awavaa mawaziri wanaompelekea majungu Rais Samia

Spread the loveMBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM) amewataka baadhi ya mawaziri...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu, Halima Mdee hapatoshi

Spread the loveVITA ya maneno kati ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha...

Biashara

Moon of Thoth, historia ya Misri ya kale ilipofichwa ndani ya kasino

Spread the love  Nchi ya Misri imebeba karibia asilimia kubwa ya mambo...

error: Content is protected !!