Sunday , 5 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Mbarouk amhakikishia ushirikiano Balozi DRC
Habari Mchanganyiko

Mbarouk amhakikishia ushirikiano Balozi DRC

Spread the love

 

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amepokea Nakala za Hati za Utambulisho za Balozi mteule wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) nchini, Jean-Pierre Massala katika Ofisi za Makao Makuu ya Wizara tarehe 15 Novemba, 2022 Jijini Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Akizungumza baada ya kupokea nakala hizo, Balozi Mbarouk amemhakikishia Balozi huyo kuwa Serikali itampa ushirikiano wakati wa utekelezaji wa majukumu yake hapa nchini.

Balozi Mbarouk ameongeza kuwa Tanzania na DRC zitaendelea kushirikiana kwenye masuala mbalimbali yenye maslahi kwa pande zote mbili hususan biashara na uwekezaji.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoTangulizi

Kimbunga Hidaya chatikisa Mafia

Spread the loveWAKATI hali ya upepo mkali ikiendelea kushuhudiwa katika baadhi ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Usafiri baharini wasitishwa kukwepa athari za kimbunga Hidaya

Spread the loveUSAFIRI wa baharini umesimamishwa kwa muda ili kukwepa athari za...

Habari Mchanganyiko

RPC Dodoma akabidhiwa bunduki mbili za wahalifu

Spread the love  Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa ya Kulevya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yazindua huduma maalum kwa wastaafu

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua huduma maalum kwa...

error: Content is protected !!