Tuesday , 30 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Barabara ya Kibena-Lupembe-Madenge-Morogoro kujengwa kwa kiwango cha lami
Habari za Siasa

Barabara ya Kibena-Lupembe-Madenge-Morogoro kujengwa kwa kiwango cha lami

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa
Spread the love

 

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, amesema kutokana na umuhimu wa barabara ya kuanzia Kibena-Lupembe-Madege mpaka Morogoro, Serikali imetenga kiasi cha Sh 8.5 bilioni kuanza taratibu za ujenzi kwa kiwango cha lami. Anaripoti Apaikunda Mosha, TUDARCo … (endelea).

Mbarawa ameyasema hayo leo Alhamisi terehe 11, Agosti, 2022 wakati akihutubia wananchi wa Mtwango mkoani Njombe kwenye msafara wa Rais Samia kuelekea mkoani Iringa.

Amesema umuhimu wa barabara hiyo unatokana na kupita katika maeneo yenye uzalishaji mkubwa na pia inaunganisha mikoa miwili ambayo ni mkoa wa Njombe na Morogoro.

https://www.youtube.com/watch?v=luCeQg5-X_Q

Aidha Waziri Mbarawa ameiomba halmashauri ichangie nusu ya gharama za taa za barabarani na kwamba Wizara itachangia nusu.

Kuhusu kupandisha hadhi barabara amesema suala hilo watalifanyia kazi na wakiona kama imekidhi vigezo itapandishwa hadhi na kuwa ya TANROADS.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa: Watanzania iungeni mkono Chadema uchaguzi 2025

Spread the loveMWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amewataka watanzania wakiunge...

Habari za SiasaTangulizi

Samia ataja miradi ambayo Tanzania inashirikiana na IDA

Spread the loveRais wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu amehutubia...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

7 wafa Ulanga, mbunge alia kutelekezwa na mawaziri, Tanroad

Spread the loveWatoto saba wamepoteza maisha na zaidi ya kaya 70 kukosa...

Habari za SiasaTangulizi

Wizara Katiba na Sheria yaliomba Bunge Sh. 441.2 bilioni

Spread the love  WIZARA ya Katiba na Sheria imeliomba Bunge liidhinishe bajeti...

error: Content is protected !!