Monday , 6 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Uzinduzi Royal Tour: Rais Samia atoa shukrani
Habari za Siasa

Uzinduzi Royal Tour: Rais Samia atoa shukrani

Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa shukrani kwa wote waliohusika katika maandalizi ya uzinduzi wa Filamu ya The Royal Tour nchini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha …(endelea).

Filamu hiyo baada ya kuzinduliwa maeneo mawili nchini Marekeani, jana Alhamisi tarehe 28 Aprili 2022 na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango.

Katika ukurasa wake wa Twitter, Rais Samia leo Ijumaa ameandika, “nawashukuru wananchi wa Arusha, wadau wa utalii, uongozi wa mkoa, kamati ya Royal Tour na wote walioshiriki na kufanikisha uzinduzi wa 3 wa filamu ya Royal Tour jijini Arusha.”

“Nafarijika kuona mapokezi haya makubwa ya zawadi niliyowaandalia Watanzania. Kwa pamoja tutafanikiwa.”

Uzinduzi wan ne utafanyika tarehe 7 Mei 2022 Zanzibar na 8 Mei 2020 utakuwa jijini Dar es Salaam.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Jacob, Malisa wapandishwa kizimbani kwa mashtaka ya uongo mitandaoni

Spread the loveMKURUGENZI wa Shirika la Haki, Godlisten Malisa na mwanachama wa...

BiasharaHabari za Siasa

Bunge laitaka Serikali kudhibiti ufisadi miradi ya mkakati

Spread the loveKAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, imeitaka Serikali kuimarisha...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Wizara ya Uchukuzi yaomba kuongezewa bajeti na Bunge

Spread the loveWIZARA ya Uchukuzi imeliomba Bunge liidhinishe bajeti yake kwa mwaka...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Serikali kutafuta mwekezaji mwingine Bandari ya Dar es Salaam

Spread the loveSERIKALI inaendelea kutafuta mwekezaji mwingine atakayeendesha gati namba nane hadi...

error: Content is protected !!