Thursday , 9 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Daktari apatikana na hatia ya makosa 54
Kimataifa

Daktari apatikana na hatia ya makosa 54

Krisna Singh
Spread the love

 

DAKTARI Krisna Singh kutoka North Lanarkhire mwenye umri wa miaka 72 , amepatikama na hatia ya makosa ya unyanyasaji wa kingono dhidi ya wanawake kwa zaidi ya miaka 35. Anaripoti Rhoda Kanuti kwa msaada wa mashirika ya kimataifa … (endelea).

Krishna Singh alipatikana na hatia ya kuwabusu ,kuwapapasapapasa ,na kuwafanyia uchunguzi usiofaa nakutoa maoni ya uzembe kwa wagonjwa 48, katika mazingira mbalimbali ya matibabu.

Hata hivyo wagonjwa hao nipamoja na mwathiriwa wa ubakaji ,wasichana na wanawake wajawazito.

Singh alipatikana na hatia hiyo ya unyanyasaji wa kingono na vitendo vya aibu ambavyo alivifanya Febuari mwaka 1983 mpaka Mei mwaka 2018 .
Aidha Singh hakuthibitishwa kukosa katika mashtaka mengine tisa ,na kukutwa bila hatia kwa mashitaka mengine mawili.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Israel yatia shubiri Gaza wakisherehekea Hamas kusitisha mapigano

Spread the loveWAKATI kundi la Hamas huko Gaza likitangaza kuridhia pendekezo lao...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Mbivu, mbichi urais wa Ramaphosa mwezi huu

Spread the loveMWISHONI mwa mwezi huu, raia wa Afrika Kusini watapiga kura...

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

error: Content is protected !!