Friday , 3 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Samia amuapisha Mwenyekiti mpya NEC
Habari za Siasa

Rais Samia amuapisha Mwenyekiti mpya NEC

Spread the love

 

Rais Samia leo tarehe 10 Januari, 2022 amemuapisha Jaji Jacob Mwambegele kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Anaripoti Mwandishi Wetu (endelea).

Jaji Mwambegele amechukua nafasi ya Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani Semistocles Kaijage ambaye amemaliza muda wake.

Jaji Mwambegele aliteuliwa tarehe 23 Disemba mwaka jana ameapishwa Ikulu jijini Dodoma pamoja na viongozi wa taasisi nyingine sambamba na mawaziri walioteuliwa hivi karibuni.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumshtaki Rais Samia

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetishia kumfungulia kesi ya...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza uchaguzi mdogo Jimbo la Kwahani

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi, imetangaza uchaguzi mdogo...

AfyaHabari za Siasa

Dk. Biteko aagiza utoaji huduma saratani usiwe wa kibaguzi

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

error: Content is protected !!