Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Samia amuapisha Mwenyekiti mpya NEC
Habari za Siasa

Rais Samia amuapisha Mwenyekiti mpya NEC

Spread the love

 

Rais Samia leo tarehe 10 Januari, 2022 amemuapisha Jaji Jacob Mwambegele kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Anaripoti Mwandishi Wetu (endelea).

Jaji Mwambegele amechukua nafasi ya Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani Semistocles Kaijage ambaye amemaliza muda wake.

Jaji Mwambegele aliteuliwa tarehe 23 Disemba mwaka jana ameapishwa Ikulu jijini Dodoma pamoja na viongozi wa taasisi nyingine sambamba na mawaziri walioteuliwa hivi karibuni.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Spread the loveWakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi...

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

error: Content is protected !!