Tuesday , 7 May 2024
Home Habari Mchanganyiko IGP Sirro apangua makanda wa polisi
Habari Mchanganyiko

IGP Sirro apangua makanda wa polisi

IGP Simon Sirro
Spread the love

 

INSPEKTA Jenerali wa Polisi (IGP) wa Tanzania, Simon Sirro amefanya mabadiliko ya baadhi ya makamanda wa polisi nchini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Mikoa iliyokumbwa na pangua-pangua hiyo ni Dar es Salaam, Katavi, Manyara, Dodoma na Mwanza.

Mabadiliko hayo yametangazwa leo Jumatano, tarehe 10 Novemba 2021 na David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi akisema “uhamisho na mabadiliko haya ni ya kawaida yenye lengo la kuboresha ufanisi katika kutekeleza jukumu la kulinda maisha ya watu na mali zao.

Undani wa mabadiliko hayo; soma taarifa yote ya Kamanda Misime

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mahakama yatoa uamuzi zuio dhidi ya Club House

Spread the loveMAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu jijini Dar es Salaam,...

Habari Mchanganyiko

GGML, OSHA yawanoa bodaboda 200 Arusha

Spread the loveZAIDI ya madereva bodaboda 200 wa jiji la Arusha wamepatiwa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Serikali kuwakopesha wajasiriamali 18.5bn/- kupitia NMB

Spread the loveSerikali imetenga kiasi cha Sh 18.5 bilioni kwa ajili ya...

AfyaHabari Mchanganyiko

Huduma za kibingwa zazinduliwa katika hospitali za halmashauri 184

Spread the loveSERIKALI imezindua huduma za matibabu za kibingwa katika hospitali 184...

error: Content is protected !!