Wednesday , 8 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Ujerumani yamchagua mbunge wa kwanza mwanamke mweusi
Kimataifa

Ujerumani yamchagua mbunge wa kwanza mwanamke mweusi

Spread the love

 

AWET Tesfaiesus, mbunge wa kwanza wa chama cha Green akiwa mwanamke wa kwanza mwenye asili ya Afrika, kuchaguliwa kuwa mbunge katika Bunge la Ujerumani, Bundestag. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Wakili huyo mwenye miaka 47, aligombea Hessen ambalo linahusisha Frankfurt na Kassel ambako anaishi.

Tangu amehitimu chuo kikuu cha Frankfurt mwaka 2006, amekuwa mwanasheria, mara nyingi akiwakilisha kesi za wakimbizi na wanaotafuta makazi.

Alizaliwa Eritrea, na kuhamia Ujerumani na familia yake akiwa ma umri wa miaka 6 na amekuwa katika mji wa Heidelberg.

Amekuwa mwanachama wa Greens tangu mwaka 2009, alijikita kwenye siasa kufuatia mapigano ya risasi ya Hanua nje tu ya Frankfurt, mwaka 2020 ambapo wanaofuata mrengo wa kulia waliuawa watu 11.

Jina lake, “Awet,” ambalo kwa asili ya lugha yake ya Eritre ina maanisha ushindi- “jina linateta nuru ya kuongoza njia katika methali za Eritrea.

Ataenda Berlin kuwa mbunge wa Bundestage.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Israel yatia shubiri Gaza wakisherehekea Hamas kusitisha mapigano

Spread the loveWAKATI kundi la Hamas huko Gaza likitangaza kuridhia pendekezo lao...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Mbivu, mbichi urais wa Ramaphosa mwezi huu

Spread the loveMWISHONI mwa mwezi huu, raia wa Afrika Kusini watapiga kura...

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

error: Content is protected !!