Monday , 6 May 2024
Home Kitengo Michezo Simba kuwavaa Wabotswana klabu bigwa
Michezo

Simba kuwavaa Wabotswana klabu bigwa

Spread the love

 

TIMU ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, itacheza na Jwaneng Galaxy FC ya Botswana katika michuano ya klabu bigwa barani Africa. Anaripoti Damas Ndelema, Tudarco … (endelea).

Jwaneng imefika hatua hiyo baada ya kuitoa klabu ya Diplomates FC ya Afrika Kusini kwa ushindi wa jumla wa bao 2-1.

Timu hizo yaani Jwaneng na Simba zitakutana tarehe 15 Oktoba 2021 kwa Simba kuanzia ugenini na marudiano yatafanyika tarehe 22 Oktoba 2021,jijini Dar es Salaam katika dimba la Benjamin Mkapa.

Mshindi katika mchezo huo, atakata tiketi ya moja kwa moja kwenda makundi ya klabu bigwa na atakae poteza atakwenda kucheza mtuano ‘play off’ ili kufuzu makundi ya Kombe la Shirikisho barani Afrika.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Ligi mbalimbali za pesa kuendelea leo

Spread the love JUMAPILI ya leo imekaa kipesa tuu yani baada ya...

Michezo

Usiishie kuangalia tu game za leo, piga na mkwanja na Meridianbet

Spread the love  LIGI mbalimbali barani ulaya zitarejea tena Jumamosi ya leo...

Michezo

Ligi mbalimbali za pesa kuendelea leo

Spread the love Ijumaa ya leo ambapo mechi mbalimbali zinaendelea Duniani Meridianbet...

Michezo

Europa na Conference kukupatia pesa ndefu leo

Spread the love  ALHAMISI ya leo tutaenda kushuhudia mitanange ya kukata na...

error: Content is protected !!