Friday , 26 April 2024
Home Kitengo Michezo Simba kuwavaa Wabotswana klabu bigwa
Michezo

Simba kuwavaa Wabotswana klabu bigwa

Spread the love

 

TIMU ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, itacheza na Jwaneng Galaxy FC ya Botswana katika michuano ya klabu bigwa barani Africa. Anaripoti Damas Ndelema, Tudarco … (endelea).

Jwaneng imefika hatua hiyo baada ya kuitoa klabu ya Diplomates FC ya Afrika Kusini kwa ushindi wa jumla wa bao 2-1.

Timu hizo yaani Jwaneng na Simba zitakutana tarehe 15 Oktoba 2021 kwa Simba kuanzia ugenini na marudiano yatafanyika tarehe 22 Oktoba 2021,jijini Dar es Salaam katika dimba la Benjamin Mkapa.

Mshindi katika mchezo huo, atakata tiketi ya moja kwa moja kwenda makundi ya klabu bigwa na atakae poteza atakwenda kucheza mtuano ‘play off’ ili kufuzu makundi ya Kombe la Shirikisho barani Afrika.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!