Monday , 6 May 2024
Home Kitengo Michezo Jezi za Yanga zampagawisha Jokate… ampa neno Vunjabei
Michezo

Jezi za Yanga zampagawisha Jokate… ampa neno Vunjabei

Spread the love

 

MKUU wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo amesema licha ya kwamba jezi za Simba ni nzuri ila za Yanga ni kiboko. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam… (endelea). 

Aidha, Mwegelo amempongeza mfanyabiashara Fred Ngajiro ‘Vunjabei’ ambaye ana zabuni ya kutengeneza na kusambaza jezi Simba kwa kazi nzuri aliyoifanya.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mwegelo amesema kati ya vitu vinavyotoa hamasa kwa vijana ni pale kijana anapoaminiwa na kufanya vyema.

“Leo nimeona nikampongeze @fred_vunjabei kwa kazi nzuri aliyoifanya na kutupa heshima kubwa vijana wa Kitanzania kwamba tunaweza.

“Rai yangu kwa vijana wote ukiaminiwa onesha uwezo .Kweli uzi ni mkali Ila wa Jangwani kiboko yao,’ ameandika Mwegelo kisha Vunjabei akajibu;

“Asante rafiki angu mkyuti, Simu yangu ni moja tu siku ya Simba day tunaomba ulinzi.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Idris Sultan anogesha msimu wa 3 wa Bridgerton

Spread the loveSTAA wa burudani kutoka ardhi ya Tanzania, Idris Sultan amenogesha...

Michezo

Ligi mbalimbali za pesa kuendelea leo

Spread the love JUMAPILI ya leo imekaa kipesa tuu yani baada ya...

Michezo

Usiishie kuangalia tu game za leo, piga na mkwanja na Meridianbet

Spread the love  LIGI mbalimbali barani ulaya zitarejea tena Jumamosi ya leo...

Michezo

Ligi mbalimbali za pesa kuendelea leo

Spread the love Ijumaa ya leo ambapo mechi mbalimbali zinaendelea Duniani Meridianbet...

error: Content is protected !!