Tuesday , 7 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Mke wa mtu sumu… denti afumaniwa, auawa
Kimataifa

Mke wa mtu sumu… denti afumaniwa, auawa

Spread the love

 

MWANAFUNZI mmoja wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari ya Kapsumbeiywo, huko Kuresoi Kusini, Kaunti ya Nakuru nchini Kenya ameuawa baada ya kufumwa na mke wa mtu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Mwanafunzi huyo aliyefahamika kwa jina la Edmond Kipng’etich (19) aliyefumaniwa na Mume (35) wa mwanamke huyo,M aliuawa kwa kukatwakatwa vipande kwa panga.

Akithibitisha kisa hicho, Ofisa Upepelezi wa makosa ya jina katika wilaya hiyo ya Kuresoi, Peter Obonyo alisema mwanafunzi huyo alifariki dunia akipatiwa matibabu katika hospitali ya Nakuru Level Five.

Alisema tayari polisi wameanzisha msako dhidi ya mshukiwa huyo aliyefahamika kwa jina la Japheth Bii ambaye anasemekana aliingia mitini baada ya kutekeleza mauaji hayo ya kinyama.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Israel yatia shubiri Gaza wakisherehekea Hamas kusitisha mapigano

Spread the loveWAKATI kundi la Hamas huko Gaza likitangaza kuridhia pendekezo lao...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Mbivu, mbichi urais wa Ramaphosa mwezi huu

Spread the loveMWISHONI mwa mwezi huu, raia wa Afrika Kusini watapiga kura...

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

error: Content is protected !!