Tuesday , 7 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Sabaya, wenzake wafikishwa kortini
Habari MchanganyikoTangulizi

Sabaya, wenzake wafikishwa kortini

Spread the love

 

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoani Kilimajaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne, leo Ijumaa, tarehe 4 Juni 2021, wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha. Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha … (endelea)

Sabaya amekuwa akishikiliwa kwa zaidi ya 10 kwa mahojiano na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), kwa tuhuma mbalimbali zinazomkabili za matumizi mabaya ya madaraka.

Uchunguzi huo, umefanyika baada ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kumsimamisha hivi karibuni ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili.

Endelea kufuatilia MwanaHALISI TV, MwanaHALISI Online na mitandao yetu kwa habari na taarifa mbalimbali

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

CCM yaitaka TAKUKURU kuichunguza Chadema tuhuma alizoibua Lissu

Spread the loveCHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana...

AfyaHabari MchanganyikoMakala & Uchambuzi

Kisukari cha mimba ni nini?

Spread the loveKisukari cha mimba ni aina ya kisukari kinachotokea kwa baadhi...

Habari Mchanganyiko

Mafunzo kwa bodaboda 395 yamkuna Meya Dodoma

Spread the loveNAIBU Meya wa Jiji la Dodoma, Asma Karama amepongeza mafunzo...

Habari Mchanganyiko

Samia aagiza huduma za dharura maeneo yaliyoathiriwa na kimbunga Hidaya

Spread the love   RAIS wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Samia...

error: Content is protected !!