Friday , 3 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Mzee miaka 61 akutwa na funguo 83 bandia, misumari 47 Dar
Habari Mchanganyiko

Mzee miaka 61 akutwa na funguo 83 bandia, misumari 47 Dar

Dk. Lazaro Mambosasa
Spread the love

 

KAMANDA wa Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema, wanamshikilia Mzee Said Abdallah (61), baada ya kumkuta akiwa na funguo bandia 83, misumari ya aina mbalimbali 47 anazodaiwa kutumia kwa wizi. Anaripoti Nasra Bakari, DMC … (endelea).

Akizungumza na waandishi wa habari, leo Alhamisi, tarehe 6 Mei 2021, Mambosasa amesema, Mzee huyo, anatuhumiwa kwa wizi kwenye Maghala na maduka kwa kutumia funguo bandia.

Amesema, Mzee huyo Mkazi wa Mbagala Kilungule, alikamatwa tarehe 04 Mei 2021, huko Mbagala Kilungule akiwa na funguo bandia 83, misumari ya aina mbalimbali 47 ambayo ni malighafi za kutengenezea funguo bandia.

“Mtuhumiwa alihojiwa na kukiri kufanya uhalifu tangu mwaka 2013 maeneo mbalimbali ya Jiji kwa kutumia funguo bandia,” amesema Mambosasa

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yang’ara maonesho OSHA

Spread the loveBenki ya NMB imebeba tuzo ya kampuni bora kwenye sekta...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

Habari Mchanganyiko

Chongolo aonya viongozi vijiji kutouza NIDA kwa wageni

Spread the loveMKUU wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo amewaonya viongozi wa...

error: Content is protected !!