Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Michezo Chama mchezaji bora mwezi Aprili
MichezoTangulizi

Chama mchezaji bora mwezi Aprili

Clatous Chama
Spread the love

 

KIUNGO wa timu ya Simba Clatous Chama amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mashabiki wa klabu hiyo wa mwezi Aprili mara baada ya kuwashinda Shomary Kapombe na Aishi Manula. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)

Mchezaji huyo ametangazwa hii leo kupitia kurasa mbalimbali za mitandao ya kijamii ya klabu hiyo.

Katika kinyang’anyiro hiko Chama alipaka asilimia 50.48 za kura zote huku Aishi Manula akipata asilimia 30.74 na Shomari Kapombe akipata kura asilimia 18.78

Chama anakuwa mchezaji wa tatu kushinda tuzo hii toka zilipoanza kutolewa mwezi Februari ambapo mshindi alikuwa Luis Miquisson na mwezi Machi tuzo hiyo ilinyakuliwa na beki wa kati Josh Onyango.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Europa na Conference kukupatia pesa ndefu leo

Spread the love  ALHAMISI ya leo tutaenda kushuhudia mitanange ya kukata na...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yaanza msako wanaotoa mikopo kausha damu

Spread the loveSERIKALI imeanza kufuatilia watu, vikundi na taasisi zinazotoa kinyume cha...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

error: Content is protected !!