Friday , 19 April 2024
Home Kitengo Michezo Chama mchezaji bora mwezi Aprili
MichezoTangulizi

Chama mchezaji bora mwezi Aprili

Clatous Chama
Spread the love

 

KIUNGO wa timu ya Simba Clatous Chama amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mashabiki wa klabu hiyo wa mwezi Aprili mara baada ya kuwashinda Shomary Kapombe na Aishi Manula. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)

Mchezaji huyo ametangazwa hii leo kupitia kurasa mbalimbali za mitandao ya kijamii ya klabu hiyo.

Katika kinyang’anyiro hiko Chama alipaka asilimia 50.48 za kura zote huku Aishi Manula akipata asilimia 30.74 na Shomari Kapombe akipata kura asilimia 18.78

Chama anakuwa mchezaji wa tatu kushinda tuzo hii toka zilipoanza kutolewa mwezi Februari ambapo mshindi alikuwa Luis Miquisson na mwezi Machi tuzo hiyo ilinyakuliwa na beki wa kati Josh Onyango.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Uturuki zanuia kukuza biashara, uwekezaji

Spread the loveSERIKALI za Tanzania na Uturuki zimekubaliana kuendeleza dhamira ya kuimarisha...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yatangaza ruti awamu ya pili maandamano

Spread the love  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema awamu ya...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia kutunukiwa udaktari wa heshima Uturuki

Spread the loveBaraza la Chuo Kikuu cha Ankara, ambacho ni cha pili...

error: Content is protected !!