Sunday , 5 May 2024
Home Kitengo Michezo Kim Poulsen kutangaza kikosi cha Stars
Michezo

Kim Poulsen kutangaza kikosi cha Stars

Kim Poulsen
Spread the love

 

KOCHA wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Kim Poulsen anatarajia kutangaza kikosi chake kitakachoingia kambini kwa ajili ya maandalizi dhidi ya Guinea Ikweta. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea)

Mchezo huo wa kundi J wa kufuzu kwa michuano ya kombe la mataifa Afrika utapigwa 25 Machi 2021, nchini Guinea.

Mpaka sasa Stars kwenye kundi hilo inashika nafasi ya tatu ikiwa na pointi, nyuma ya Equtorial Guinea kwa pointi mbili ikiwa nafasi ya pili.

Kabla ya kuvaana na timu ya Taifa ya Guinea Ikweta, Taifa Stars itacheza mchezo wa kujipima nguvu dhidi ya timu ya Taifa ya Kenya (Harambee Stars).

Ikumbukwe Kim Poulsen amekuja amechukua nafasi ya Ettienne Ndayilagije ambaye amesitishiwa mkataba wake kutokana na matokeo mabovu kwenye michuano ya CHAN.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Usiishie kuangalia tu game za leo, piga na mkwanja na Meridianbet

Spread the love  LIGI mbalimbali barani ulaya zitarejea tena Jumamosi ya leo...

Michezo

Ligi mbalimbali za pesa kuendelea leo

Spread the love Ijumaa ya leo ambapo mechi mbalimbali zinaendelea Duniani Meridianbet...

Michezo

Europa na Conference kukupatia pesa ndefu leo

Spread the love  ALHAMISI ya leo tutaenda kushuhudia mitanange ya kukata na...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

error: Content is protected !!