Thursday , 25 April 2024
Home Kitengo Michezo Kim Poulsen kutangaza kikosi cha Stars
Michezo

Kim Poulsen kutangaza kikosi cha Stars

Kim Poulsen
Spread the love

 

KOCHA wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Kim Poulsen anatarajia kutangaza kikosi chake kitakachoingia kambini kwa ajili ya maandalizi dhidi ya Guinea Ikweta. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea)

Mchezo huo wa kundi J wa kufuzu kwa michuano ya kombe la mataifa Afrika utapigwa 25 Machi 2021, nchini Guinea.

Mpaka sasa Stars kwenye kundi hilo inashika nafasi ya tatu ikiwa na pointi, nyuma ya Equtorial Guinea kwa pointi mbili ikiwa nafasi ya pili.

Kabla ya kuvaana na timu ya Taifa ya Guinea Ikweta, Taifa Stars itacheza mchezo wa kujipima nguvu dhidi ya timu ya Taifa ya Kenya (Harambee Stars).

Ikumbukwe Kim Poulsen amekuja amechukua nafasi ya Ettienne Ndayilagije ambaye amesitishiwa mkataba wake kutokana na matokeo mabovu kwenye michuano ya CHAN.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!