Friday , 3 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa CCM yapoteza mwenyekiti wake Simiyu
Habari za Siasa

CCM yapoteza mwenyekiti wake Simiyu

Enock Yakobo
Spread the love

 

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Simiyu, Enock Yakobo, amefariki dunia leo asubuhi Jumanne, tarehe 23 Februari 2021, Hospitali ya Meatu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Simiyu … (endelea).

MwanaHALISI Online, limezungumza na katibu mwenezi wa CCM mkoani humo, Mayunga George ambaye amesema, taratibu zingine za mazishi zitatolewa baadaye

Endelea kufuatilia MwanaHALISI Online na MwanaHALISI TV kwa habari zaidi

1 Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumshtaki Rais Samia

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetishia kumfungulia kesi ya...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza uchaguzi mdogo Jimbo la Kwahani

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi, imetangaza uchaguzi mdogo...

AfyaHabari za Siasa

Dk. Biteko aagiza utoaji huduma saratani usiwe wa kibaguzi

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

error: Content is protected !!