Friday , 3 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Simba, Yanga zamlilia Maalim Seif
Habari za Siasa

Simba, Yanga zamlilia Maalim Seif

Spread the love

 

TIMU za Simba na Yanga za jijini Dar es Salaam, zimetoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Maalim Seif Sharif Hamad, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, aliyefariki dunia leo Jumatano, tarehe 17 Februari 2021, Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)

Maalim Seif ambaye alikuwa pia, Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, alikuwa shabiki wa Simba.
Soma taarifa za rambirambi za watani hao wa jadi hapa chini.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumshtaki Rais Samia

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetishia kumfungulia kesi ya...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza uchaguzi mdogo Jimbo la Kwahani

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi, imetangaza uchaguzi mdogo...

AfyaHabari za Siasa

Dk. Biteko aagiza utoaji huduma saratani usiwe wa kibaguzi

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

error: Content is protected !!