Friday , 3 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mwanasiasa mkongwe Bakari Mwapachu afariki dunia
Habari za SiasaTangulizi

Mwanasiasa mkongwe Bakari Mwapachu afariki dunia

Bakari Harith Mwapachu
Spread the love

 

HARITH Bakari Mwapachu (81), waziri mwandamizi wa zamani amefariki dunia alfajiri ya kuamkia leo Ijumaa tarehe 12 Februari 2021, Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)

Mwili Mwapachu, aliyezaliwa tarehe 25 Julai 1939, amewahi kuwa mbunge wa Tanga Mjini kuanzia mwaka 2000 hadi 2010.

Balozi Juma Mwapachu ambaye ni mdogo wake Bakari amesema, mwili wa kaka yake utasafirishwa kwenda jijini Tanga kwa mazishi yanayotarajia kufanyika kesho Jumamosi.

Endelea kufuatili mitandao yetu kwa habari na taarifa mbalimbali

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumshtaki Rais Samia

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetishia kumfungulia kesi ya...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza uchaguzi mdogo Jimbo la Kwahani

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi, imetangaza uchaguzi mdogo...

AfyaHabari za Siasa

Dk. Biteko aagiza utoaji huduma saratani usiwe wa kibaguzi

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

error: Content is protected !!