Tuesday , 7 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Uchaguzi Mkuu Uganda: Museveni aongoza
Kimataifa

Uchaguzi Mkuu Uganda: Museveni aongoza

Yoweri Museveni
Spread the love

RAIS wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, anaongoza katika matokeo ya awali ya kura zilizohesabiwa. Inaripoti mitandao ya kimataifa … (endelea).

Mpaka kufika saa 4 asubihi ya leo tarehe 15 Januari 2021, jumla ya vituo 8,310 vya kuhesabia kura kati ya 34, 684 tayari vimetoa matokeo.

Rais Museveni anatajwa kuongoza kwa kura 1,536,205 (65.02%), huku mshindani wake mkuu Robert Kyagulanyi (Bobi Wine) akipata kura 647,146 (27.39%).

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Israel yatia shubiri Gaza wakisherehekea Hamas kusitisha mapigano

Spread the loveWAKATI kundi la Hamas huko Gaza likitangaza kuridhia pendekezo lao...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Mbivu, mbichi urais wa Ramaphosa mwezi huu

Spread the loveMWISHONI mwa mwezi huu, raia wa Afrika Kusini watapiga kura...

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

error: Content is protected !!