Tuesday , 7 May 2024
Home Kitengo Michezo Bodi ya Ligi yafungia viwanja saba
Michezo

Bodi ya Ligi yafungia viwanja saba

Uwanja wa Nangwanda Sijaona wa Mtwara
Spread the love

BODI ya Ligi imevifungia viwanja vya Majimaji (songea), Mkwakwani (Tanga), Sabasaba (Njombe), Ali Hassan Mwinyi (Tabora), Kipija (Mbeya), Nagwanda Sijaona (Mtwara) na Jamhuri (Dodoma) mara baada ya kukosa baadhi ya sifa ili viweze kutumika kwenye michezo ya kimashidano. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Taarifa kutoka ndani ya bodi hiyo imeleza kuwa viwanja hivyo vilivyokuwa vinatumika kwa michezo ya Ligi Kuu na Ligi Daraja la Kwanza havitatumika kwa sasa mpaka vitapofanyiwa marekebisho na kamati ya leseni kukagua na kujilidhisha.

Sababu kubwa ya kuvifungia viwanja hivyi ni kuwa na maeneo mabovu ya kuchezea (pitch), mabenchi ya kukaa wachezaji wa akiba sambamba na vyumba vya kubadilishia nguo.

Kwa mantiki hiyo klabu zote zilikuwa zinacheza kwenye viwanja hivyo kwa michezo yake ya nyumbani vitalazimika kutafuta viwanja vingine vyenye sifa ili waweze kutumia kwenye michezo yao ya kimashindano.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Idris Sultan anogesha msimu wa 3 wa Bridgerton

Spread the loveSTAA wa burudani kutoka ardhi ya Tanzania, Idris Sultan amenogesha...

Michezo

Ligi mbalimbali za pesa kuendelea leo

Spread the love JUMAPILI ya leo imekaa kipesa tuu yani baada ya...

Michezo

Usiishie kuangalia tu game za leo, piga na mkwanja na Meridianbet

Spread the love  LIGI mbalimbali barani ulaya zitarejea tena Jumamosi ya leo...

Michezo

Ligi mbalimbali za pesa kuendelea leo

Spread the love Ijumaa ya leo ambapo mechi mbalimbali zinaendelea Duniani Meridianbet...

error: Content is protected !!