Saturday , 27 April 2024
Home Kitengo Michezo Bodi ya Ligi yafungia viwanja saba
Michezo

Bodi ya Ligi yafungia viwanja saba

Uwanja wa Nangwanda Sijaona wa Mtwara
Spread the love

BODI ya Ligi imevifungia viwanja vya Majimaji (songea), Mkwakwani (Tanga), Sabasaba (Njombe), Ali Hassan Mwinyi (Tabora), Kipija (Mbeya), Nagwanda Sijaona (Mtwara) na Jamhuri (Dodoma) mara baada ya kukosa baadhi ya sifa ili viweze kutumika kwenye michezo ya kimashidano. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Taarifa kutoka ndani ya bodi hiyo imeleza kuwa viwanja hivyo vilivyokuwa vinatumika kwa michezo ya Ligi Kuu na Ligi Daraja la Kwanza havitatumika kwa sasa mpaka vitapofanyiwa marekebisho na kamati ya leseni kukagua na kujilidhisha.

Sababu kubwa ya kuvifungia viwanja hivyi ni kuwa na maeneo mabovu ya kuchezea (pitch), mabenchi ya kukaa wachezaji wa akiba sambamba na vyumba vya kubadilishia nguo.

Kwa mantiki hiyo klabu zote zilikuwa zinacheza kwenye viwanja hivyo kwa michezo yake ya nyumbani vitalazimika kutafuta viwanja vingine vyenye sifa ili waweze kutumia kwenye michezo yao ya kimashindano.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!