Tuesday , 7 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Lissu atinga Mlimani City
Habari za Siasa

Lissu atinga Mlimani City

Spread the love

TUNDU Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chadema ametembelea Mlimani City jijini Dar es Salaam na kufanya manunuzi mbalimbali katika moja ya maduka. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Lissu anaendelea kutumikia adhabu ya kufungiwa siku saba kutokufanya kampeni kwa siku saba na Kamati ya Kitaifa ya Maadili ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuanzia tarehe 3 Oktoba 2020, itahitimishwa kesho Ijumaa.

Jana Jumatano, Lissu alitembelea maeneo mbalimbali ya Kariakoo jijini humo na kufanya manunuzi mbalimbali ikiwemo mchele na matunda.

Leo Alhamisi mchana tarehe 8 Oktoba 2020, Lissu ameonekana katika madaku ya Mlimani City akinunua bidhaa mbalimbali na baadaye anatarajiwa kwenda soko la Manzese ambako nako atanunua bidhaa akiwa huko.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Jacob, Malisa wapandishwa kizimbani kwa mashtaka ya uongo mitandaoni

Spread the loveMKURUGENZI wa Shirika la Haki, Godlisten Malisa na mwanachama wa...

BiasharaHabari za Siasa

Bunge laitaka Serikali kudhibiti ufisadi miradi ya mkakati

Spread the loveKAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, imeitaka Serikali kuimarisha...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Wizara ya Uchukuzi yaomba kuongezewa bajeti na Bunge

Spread the loveWIZARA ya Uchukuzi imeliomba Bunge liidhinishe bajeti yake kwa mwaka...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Serikali kutafuta mwekezaji mwingine Bandari ya Dar es Salaam

Spread the loveSERIKALI inaendelea kutafuta mwekezaji mwingine atakayeendesha gati namba nane hadi...

error: Content is protected !!