Tuesday , 30 May 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Lissu atinga Mlimani City
Habari za Siasa

Lissu atinga Mlimani City

Spread the love

TUNDU Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chadema ametembelea Mlimani City jijini Dar es Salaam na kufanya manunuzi mbalimbali katika moja ya maduka. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Lissu anaendelea kutumikia adhabu ya kufungiwa siku saba kutokufanya kampeni kwa siku saba na Kamati ya Kitaifa ya Maadili ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuanzia tarehe 3 Oktoba 2020, itahitimishwa kesho Ijumaa.

Jana Jumatano, Lissu alitembelea maeneo mbalimbali ya Kariakoo jijini humo na kufanya manunuzi mbalimbali ikiwemo mchele na matunda.

Leo Alhamisi mchana tarehe 8 Oktoba 2020, Lissu ameonekana katika madaku ya Mlimani City akinunua bidhaa mbalimbali na baadaye anatarajiwa kwenda soko la Manzese ambako nako atanunua bidhaa akiwa huko.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Uamuzi juu ya wakurugenzi kusimamia uchaguzi 13 Juni

Spread the love  MAHAKAMA ya Afrika ya Haki za Binadamu (ACHPR), imepanga...

Habari za Siasa

Musoma Vijijini waomba ujenzi wa barabara uanze haraka

Spread the loveJIMBO la Musoma Vijijini, mkoani Mara, limeomba Serikali kuhakikisha ujenzi...

Habari za Siasa

ACT Wazalendo yaanika madudu miradi ya ujenzi, moundombinu

Spread the loveCHAMA cha ACT Wazalendo kimeeleza wasiwasi juu ya uelekeo wa...

Habari za Siasa

Samia ashuhudia utiaji saini ujenzi wa minara 758 ya bilioni 265

Spread the love  RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa kampuni za...

error: Content is protected !!