Sunday , 5 May 2024
Home Kitengo Michezo Bayern mabingwa wa Ulaya
Michezo

Bayern mabingwa wa Ulaya

Spread the love

TIMU ya Bayern Munich ya Ujerumani imetwaa ubingwa wa Ligi ya Mabigwa Bara la Ulaya (UEFA) kwa kuifunga PSG ya Ufaransa bao 1-0 lililofungwa na beki Kingsley Camon dakika ya 59. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea)

Katika mchezo huo, Bayern ilitawala karibu dakika zote 90 za mchezo huku wachezaji wa PSG Neymar, Mbappe na Di Maria wakishindwa kutumia nafasi walizopata.

Mlinda mlango wa Bayern, Manuel Never alifanya kazi kubwa kuokoa hatari zilizokuwa zikifanywa na washambuliaji wa PSG akiwemo Neymar, Mbappe na Di Maria.

Ubingwa huo wa Bayern ni wa sita na mara ya mwisho walitwaa taji hilo mwaka 2013.

Miaka mingine ambayo walitwaa ni 1974, 1975, 1976, 2001, 2013 na mwaka huu 2020.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Usiishie kuangalia tu game za leo, piga na mkwanja na Meridianbet

Spread the love  LIGI mbalimbali barani ulaya zitarejea tena Jumamosi ya leo...

Michezo

Ligi mbalimbali za pesa kuendelea leo

Spread the love Ijumaa ya leo ambapo mechi mbalimbali zinaendelea Duniani Meridianbet...

Michezo

Europa na Conference kukupatia pesa ndefu leo

Spread the love  ALHAMISI ya leo tutaenda kushuhudia mitanange ya kukata na...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

error: Content is protected !!