Sunday , 5 May 2024
Home Kitengo Michezo 30 kuwania mchezaji bora VPL, Simba yaongoza
Michezo

30 kuwania mchezaji bora VPL, Simba yaongoza

Spread the love

KAMATI ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) 2019/20, imetoa orodha ya majina 30 ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa ligi hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

Ligi hiyo iliyokuwa na timu 20, imehitimishwa hivi karibuni huku bingwa akiwa timu ya Simba SC ya jijini Dar es Salaam iliyotwaa kombe hilo mara tatu mfululizo.

Pia, imeshuhudia timu za Singida United, Lupuli ya Iringa, Alliance ya Mwanza na Ndanda ya Mtwara zikishuka daraja.

Kati ya orodha hiyo ya wachezaji 30, Simba imeingiza wachezaji nane huku Yanga ya Dar es Salaam ikiwa na wachezaji watano na Azam FC ya jijini humo wachezaji watatu.

Taarifa kamili ya kamati hiyo iliyotolewa leo Ijumaa tarehe 31 Julai 2020 hii hapa;

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Usiishie kuangalia tu game za leo, piga na mkwanja na Meridianbet

Spread the love  LIGI mbalimbali barani ulaya zitarejea tena Jumamosi ya leo...

Michezo

Ligi mbalimbali za pesa kuendelea leo

Spread the love Ijumaa ya leo ambapo mechi mbalimbali zinaendelea Duniani Meridianbet...

Michezo

Europa na Conference kukupatia pesa ndefu leo

Spread the love  ALHAMISI ya leo tutaenda kushuhudia mitanange ya kukata na...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

error: Content is protected !!