Tuesday , 7 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Milioni 10 wapona corona duniani 
Kimataifa

Milioni 10 wapona corona duniani 

Spread the love

WAGONJWA milioni 10.7 wamepona ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19) duniani. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Kwa mujibu wa mtandao wa worldometer, unaonyesha hadi leo Alhamisi 30 Julai 2020 unaonyesha, walioambukizwa ni milioni 17.1 na waliofariki ni 670,322.

Marekani inaongoza kwa kuwa na wagonjwa wengi wa COVID-19 ikiwa na maambukiozo milioni 4.5, waliopona milioni 2.2 na waliofariki ni 153,845.

Brazil inafuatia ikiwa na maambukizo milioni 2.5, waliopona milioni 1.51.7 na wagonjwa waliofariki ni 90,188.

China ambako corona ilianzia mwishoni mwa mwaka 2019, ina maambukizo 84,165 ambapo vifo ni 4,634 na waliopona 78,957.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Israel yatia shubiri Gaza wakisherehekea Hamas kusitisha mapigano

Spread the loveWAKATI kundi la Hamas huko Gaza likitangaza kuridhia pendekezo lao...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Mbivu, mbichi urais wa Ramaphosa mwezi huu

Spread the loveMWISHONI mwa mwezi huu, raia wa Afrika Kusini watapiga kura...

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

error: Content is protected !!