Friday , 3 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Uganda yapiga marufuku kampeni za majukwaani
Kimataifa

Uganda yapiga marufuku kampeni za majukwaani

Bobi Wine
Spread the love

TUME ya Uchaguzi ya Uganda imepiga marufuku mikusanyiko ya kampeni za jukwaani na kuagiza, kampeni za uchaguzi mkuu zifanyike kupitia vyombo vya habari. Inaripoti mitandao ya kimataifa … (endelea).

Kwenye uchaguzi huo miezi sita ijayo, Uganda inatarajia kuchagua rais, wabunge na wawakilishi wa ngazi za chini. Uchaguzihuo unatarajiwa kufanyika Januari 2021.

Tume hiyo imeeleza, imechukua hatua hiyo kuhakikisha virusi vya corona havipati nafasi ya kusambaa kutokana na mikusanyiko hiyo, hivyo kuliingiza taifa kwenye janga.

Taarifa ya tume hiyo imeeleza, utaratibu wa sasa wa uvaaji barakoa, umbali unakubalika na njia zingine zinazotumika kujiepusha na maambukizi hayo, zitasimamiwa siku ya upigaji kura.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

error: Content is protected !!