Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Uganda yapiga marufuku kampeni za majukwaani
Kimataifa

Uganda yapiga marufuku kampeni za majukwaani

Bobi Wine
Spread the love

TUME ya Uchaguzi ya Uganda imepiga marufuku mikusanyiko ya kampeni za jukwaani na kuagiza, kampeni za uchaguzi mkuu zifanyike kupitia vyombo vya habari. Inaripoti mitandao ya kimataifa … (endelea).

Kwenye uchaguzi huo miezi sita ijayo, Uganda inatarajia kuchagua rais, wabunge na wawakilishi wa ngazi za chini. Uchaguzihuo unatarajiwa kufanyika Januari 2021.

Tume hiyo imeeleza, imechukua hatua hiyo kuhakikisha virusi vya corona havipati nafasi ya kusambaa kutokana na mikusanyiko hiyo, hivyo kuliingiza taifa kwenye janga.

Taarifa ya tume hiyo imeeleza, utaratibu wa sasa wa uvaaji barakoa, umbali unakubalika na njia zingine zinazotumika kujiepusha na maambukizi hayo, zitasimamiwa siku ya upigaji kura.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoKimataifa

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the loveTUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais wa...

KimataifaTangulizi

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the love  TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais...

Habari za SiasaKimataifa

Mwanaye rais jela miaka miaka 6 kwa dawa za kulevya

Spread the loveMwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka...

Habari za SiasaKimataifa

Faye aahidi kuongoza kwa unyenyekevu, wagombea wenzie wakubali yaishe

Spread the loveMgombea wa upinzani Senegal, Bassirou Diomaye Faye anajiandaa kuwa rais...

error: Content is protected !!