Thursday , 9 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Waliopona corona duniani milioni 3.1, vifo 388,353
Kimataifa

Waliopona corona duniani milioni 3.1, vifo 388,353

Spread the love

WAGONJWA  wa virusi vya corona (COVID-19) waliopona duniani wafikia 3,183,578 huku vifo vikiwa 388,353. Unaripoti mtandao wa Worlometer … (endelea).

Hadi kufikia leo Alhamisi tarehe 4 Juni 2020, mtandao huo ulikuwa umeripoti wagonjwa 6,591,124 duniani.

Marekani imeendelea kuwa taifa linaloongoza maambukizo ulimwenguni, likiwa na wagonjwa 1,902,031, waliopona 688,670, huku vifo vikifikia 109,146.

 Brazil ina wagonjwa 584,562, waliofariki dunia 32,568 na waliopona wakiwa 266,132.

China ambako ndiko corona ilianzia mwishoni mwa mwaka 2019, ina wagonjwa 83,022, waliofariki wakiwa 4,634 na waliopona wakiwa 78,319 huku wagonjwa wanaoendelea na matibabu nchini humo wakiwa 69 na watatu wakiwa katika hali inayohitaji uangalizi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Israel yatia shubiri Gaza wakisherehekea Hamas kusitisha mapigano

Spread the loveWAKATI kundi la Hamas huko Gaza likitangaza kuridhia pendekezo lao...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Mbivu, mbichi urais wa Ramaphosa mwezi huu

Spread the loveMWISHONI mwa mwezi huu, raia wa Afrika Kusini watapiga kura...

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

error: Content is protected !!