Sunday , 5 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Maalim Seif, Bimani mikononi mwa polisi Pemba
Habari za Siasa

Maalim Seif, Bimani mikononi mwa polisi Pemba

Spread the love

MAALIM Seif Sharif Hamad na Salim Biman, wapo njiani kuelekea Pemba kuitikia wito wa Jeshi la Polisi wilayani humo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar…(endelea).

Maalim Seif, Mshauri Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo na aliyewahi kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Bimani ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Itikadi, Uenezi na Mawasiliano kwa Umma wanaitikia wito huo leo tarehe 14 Januari 2020, katika kituo cha Polisi Wilaya ya Wete.

Pamoja na kuitikia wito huo, hakuna taarifa zaidi zilizoelezwa kuhusu lengo la wito huo. MwanaHALISI Online linaendelea kufuatilia.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia ambwaga Selasini, mahakama yaamuru alipwe fidia

Spread the loveMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imemuamuru...

Habari za SiasaTangulizi

Mkulo afariki dunia, kuzikwa kesho Kilosa

Spread the loveALIYEKUWA Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kilosa (CCM), Mustafa...

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya afutiwa kesi, ruksa kugombea uongozi

Spread the loveMwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali DPP leo Ijumaa amefuta rufaa...

Habari za Siasa

Serikali yasaka bilioni 3 kujenga daraja Mto Mpiji

Spread the loveSerikali imesema inaendelea na juhudi za kutafuta fedha kiasi cha...

error: Content is protected !!