Wednesday , 1 May 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Matokeo kidato cha Pili, Nne haya hapa
ElimuTangulizi

Matokeo kidato cha Pili, Nne haya hapa

Dk. Charles Msonde, Katibu Mtendaji wa Necta
Spread the love

BARAZA la Mitihani nchini (Necta), limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la nne, Kidato cha Pili na Nne leo tarehe 9 Januari 2020. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea).

Matokeo hayo yametangazwa leo jijini Dodoma na Dk. Charles Msonde, Katibu Mtendaji wa baraza hilo

Darasa la Nne

Amesema, darasa la nne ufaulu wake umeengezeka ambapo jumla ya wanafunzi waliofanya mtihani 1,531,120, wanafunzi 1,665, 863 wamepata alama A,B,C na D ikilinganishwa na wanafunzi 1,213, 132 waliofaulu wa mwaka 2018.

Matokeo ya darasa la nne haya hapa

Kidato cha Pili

Dk. Msonde amesema, wanafunzi 514,251 sawa na asilimia 90.04 kati ya wanafunzi 571,137, wamefaulu na kuingia Kidato cha Tatu.

Matokeo ya kidato cha pili haya hapa

Kidato cha Nne

Amesema, watahiniwa 340,914 sawa na asilimia 80.65 ya watahiniwa 422,722, wamefanya vizuri kwenye mitihani yao.

Matokeo ya kidato cha nne haya hapa

2 Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Fatma Karume kuhusu Rais Samia

Spread the love  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa: Watanzania iungeni mkono Chadema uchaguzi 2025

Spread the loveMWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amewataka watanzania wakiunge...

Habari za SiasaTangulizi

Samia ataja miradi ambayo Tanzania inashirikiana na IDA

Spread the loveRais wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu amehutubia...

Habari za SiasaTangulizi

Wizara Katiba na Sheria yaliomba Bunge Sh. 441.2 bilioni

Spread the love  WIZARA ya Katiba na Sheria imeliomba Bunge liidhinishe bajeti...

error: Content is protected !!