Tuesday , 7 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Wananchi wamng’oa Rais Bolvia
Habari Mchanganyiko

Wananchi wamng’oa Rais Bolvia

Wananchi Bolivia wakiandamana
Spread the love

EVO Morales, Rais wa Bolvia amejiuzulu ili kupunguza ghasia zilizotokana na maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi, yaliyomuweka madarakani. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea).

Morales ametangaza uamuzi huo jana tarehe 11 Novemba 2019, huku akionesha hofu ya kukamatwa, kufuatia maandamano hayo.

Maandamano hayo yalianza wiki kadhaa zilizopita, baada ya uchaguzi wa urais kufanyika tarehe 20 Oktoba mwaka huu.

Katika video fupi inaonesha raia wa Bolvia wakiandamana katika mitaa ya mji wa La Paz, huku Jeshi la nchi hiyo likimtaka ajiuzulu.

Morales aliyeiongoza Bolvia kwa takribani miaka 14, amesema atawasilisha barua ya kujiuzulu bungeni, ili kurejesha hali ya utulivu nchini humo

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mahakama yatoa uamuzi zuio dhidi ya Club House

Spread the loveMAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu jijini Dar es Salaam,...

Habari Mchanganyiko

GGML, OSHA yawanoa bodaboda 200 Arusha

Spread the loveZAIDI ya madereva bodaboda 200 wa jiji la Arusha wamepatiwa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Serikali kuwakopesha wajasiriamali 18.5bn/- kupitia NMB

Spread the loveSerikali imetenga kiasi cha Sh 18.5 bilioni kwa ajili ya...

AfyaHabari Mchanganyiko

Huduma za kibingwa zazinduliwa katika hospitali za halmashauri 184

Spread the loveSERIKALI imezindua huduma za matibabu za kibingwa katika hospitali 184...

error: Content is protected !!