Friday , 26 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Wananchi wamng’oa Rais Bolvia
Habari Mchanganyiko

Wananchi wamng’oa Rais Bolvia

Wananchi Bolivia wakiandamana
Spread the love

EVO Morales, Rais wa Bolvia amejiuzulu ili kupunguza ghasia zilizotokana na maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi, yaliyomuweka madarakani. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea).

Morales ametangaza uamuzi huo jana tarehe 11 Novemba 2019, huku akionesha hofu ya kukamatwa, kufuatia maandamano hayo.

Maandamano hayo yalianza wiki kadhaa zilizopita, baada ya uchaguzi wa urais kufanyika tarehe 20 Oktoba mwaka huu.

Katika video fupi inaonesha raia wa Bolvia wakiandamana katika mitaa ya mji wa La Paz, huku Jeshi la nchi hiyo likimtaka ajiuzulu.

Morales aliyeiongoza Bolvia kwa takribani miaka 14, amesema atawasilisha barua ya kujiuzulu bungeni, ili kurejesha hali ya utulivu nchini humo

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!