Tuesday , 7 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Wanafunzi saba waangukiwa jengo, wafariki
Habari Mchanganyiko

Wanafunzi saba waangukiwa jengo, wafariki

Spread the love

WANAFUNZI saba wa Shule ya Msingi Precious Talent, katika eneo la Ngado, Nairobi nchini Kenya wameripotiwa kufariki baada ya kuangukiwa na jengo la darasa. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea).

Tukio hilo limetokea leo Jumatatu tarehe 23 Septemba 2019 saa 1 asubuhi

Duru kutoka Shirika la Msalaba Mwekundu ndani ya Nairobi zinaeleza, shughuli za uokozi zinaendelea na ndani ya saa tatu zilizopita wanafunzi wanne wamefikishwa katika hospitali ya taifa ya Kenyatta (KNM). Tayari wanafunzi zaidi ya 50 wametolewa kwenye vifusi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

AfyaHabari MchanganyikoMakala & Uchambuzi

Kisukari cha mimba ni nini?

Spread the loveKisukari cha mimba ni aina ya kisukari kinachotokea kwa baadhi...

Habari Mchanganyiko

Mafunzo kwa bodaboda 395 yamkuna Meya Dodoma

Spread the loveNAIBU Meya wa Jiji la Dodoma, Asma Karama amepongeza mafunzo...

Habari Mchanganyiko

Samia aagiza huduma za dharura maeneo yaliyoathiriwa na kimbunga Hidaya

Spread the love   RAIS wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Samia...

Habari Mchanganyiko

Mahakama yatoa uamuzi zuio dhidi ya Club House

Spread the loveMAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu jijini Dar es Salaam,...

error: Content is protected !!