Saturday , 10 June 2023
Home Habari Mchanganyiko Wanafunzi saba waangukiwa jengo, wafariki
Habari Mchanganyiko

Wanafunzi saba waangukiwa jengo, wafariki

Spread the love

WANAFUNZI saba wa Shule ya Msingi Precious Talent, katika eneo la Ngado, Nairobi nchini Kenya wameripotiwa kufariki baada ya kuangukiwa na jengo la darasa. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea).

Tukio hilo limetokea leo Jumatatu tarehe 23 Septemba 2019 saa 1 asubuhi

Duru kutoka Shirika la Msalaba Mwekundu ndani ya Nairobi zinaeleza, shughuli za uokozi zinaendelea na ndani ya saa tatu zilizopita wanafunzi wanne wamefikishwa katika hospitali ya taifa ya Kenyatta (KNM). Tayari wanafunzi zaidi ya 50 wametolewa kwenye vifusi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Askari Polisi zaidi ya 100 wapigwa msasa wa udereva kukabiliana na ajali

Spread the love  KATIKA kuhakikisha wimbi la ajali za barabarani zinapungua kama...

Habari MchanganyikoTangulizi

Serikali yakana kuhamisha kwa nguvu jamii ya Kimasai Loliondo

Spread the loveWAZIRI wa Katiba na Sheria nchini Tanzania, Dk. Damas Ndumbaro,...

Habari Mchanganyiko

Tunduma watenga 60 milioni kujenga machinjio ya kisasa

Spread the loveHALMASHAURI ya mji Tunduma Imetenga kiasi cha Tshs Miloni 60...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 17 kujenga bandari kavu Tunduma

Spread the loveHALMASHAURI ya mji Tunduma iliyopo wilayani  Momba mkoani Songwe imepatiwa...

error: Content is protected !!