Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Sisikii tena ‘vyuma vimekaza’- Dk. Mpango
Habari za Siasa

Sisikii tena ‘vyuma vimekaza’- Dk. Mpango

Dk. Philip Mpango
Spread the love

DAKTARI Phillip Mpango, Waziri wa Fedha na Mipango ameeleza kwamba, sasa hivi hasikii tena malalamiko ya ‘vyuma kukaza’ kutokana na benki za biashara kushusha riba. Anaripoti Martin Kamote … (endelea).

Dk. Mpango ametoa kauli hiyo leo tarehe 19 Agosti 2019 wakati akizundua kanuni za utendaji za huduma za benki, zilizoandaliwa na Chama cha Wakuu wa Benki nchini Tanzania (TBA).

Akifafanua kuhusu kauli hiyo, Dk. Mpango amesema kitendo cha benki hizo pamoja na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kushusha riba kimeongeza ukwasi, hali iliyoongeza mzunguko wa fedha.

Dk. Mpango amezipongeza benki hizo kwa kushusha riba, na kuzitaka taasisi nyingine za fedha kushusha viwnago vya vya riba ili kuwapunguzia mzigo wananchi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumshtaki Rais Samia

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetishia kumfungulia kesi ya...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza uchaguzi mdogo Jimbo la Kwahani

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi, imetangaza uchaguzi mdogo...

AfyaHabari za Siasa

Dk. Biteko aagiza utoaji huduma saratani usiwe wa kibaguzi

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

error: Content is protected !!