Tuesday , 30 May 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Sisikii tena ‘vyuma vimekaza’- Dk. Mpango
Habari za Siasa

Sisikii tena ‘vyuma vimekaza’- Dk. Mpango

Dk. Philip Mpango
Spread the love

DAKTARI Phillip Mpango, Waziri wa Fedha na Mipango ameeleza kwamba, sasa hivi hasikii tena malalamiko ya ‘vyuma kukaza’ kutokana na benki za biashara kushusha riba. Anaripoti Martin Kamote … (endelea).

Dk. Mpango ametoa kauli hiyo leo tarehe 19 Agosti 2019 wakati akizundua kanuni za utendaji za huduma za benki, zilizoandaliwa na Chama cha Wakuu wa Benki nchini Tanzania (TBA).

Akifafanua kuhusu kauli hiyo, Dk. Mpango amesema kitendo cha benki hizo pamoja na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kushusha riba kimeongeza ukwasi, hali iliyoongeza mzunguko wa fedha.

Dk. Mpango amezipongeza benki hizo kwa kushusha riba, na kuzitaka taasisi nyingine za fedha kushusha viwnago vya vya riba ili kuwapunguzia mzigo wananchi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Uamuzi juu ya wakurugenzi kusimamia uchaguzi 13 Juni

Spread the love  MAHAKAMA ya Afrika ya Haki za Binadamu (ACHPR), imepanga...

Habari za Siasa

Musoma Vijijini waomba ujenzi wa barabara uanze haraka

Spread the loveJIMBO la Musoma Vijijini, mkoani Mara, limeomba Serikali kuhakikisha ujenzi...

Habari za Siasa

ACT Wazalendo yaanika madudu miradi ya ujenzi, moundombinu

Spread the loveCHAMA cha ACT Wazalendo kimeeleza wasiwasi juu ya uelekeo wa...

Habari za Siasa

Samia ashuhudia utiaji saini ujenzi wa minara 758 ya bilioni 265

Spread the love  RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa kampuni za...

error: Content is protected !!