Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Sisikii tena ‘vyuma vimekaza’- Dk. Mpango
Habari za Siasa

Sisikii tena ‘vyuma vimekaza’- Dk. Mpango

Dk. Philip Mpango
Spread the love

DAKTARI Phillip Mpango, Waziri wa Fedha na Mipango ameeleza kwamba, sasa hivi hasikii tena malalamiko ya ‘vyuma kukaza’ kutokana na benki za biashara kushusha riba. Anaripoti Martin Kamote … (endelea).

Dk. Mpango ametoa kauli hiyo leo tarehe 19 Agosti 2019 wakati akizundua kanuni za utendaji za huduma za benki, zilizoandaliwa na Chama cha Wakuu wa Benki nchini Tanzania (TBA).

Akifafanua kuhusu kauli hiyo, Dk. Mpango amesema kitendo cha benki hizo pamoja na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kushusha riba kimeongeza ukwasi, hali iliyoongeza mzunguko wa fedha.

Dk. Mpango amezipongeza benki hizo kwa kushusha riba, na kuzitaka taasisi nyingine za fedha kushusha viwnago vya vya riba ili kuwapunguzia mzigo wananchi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

Habari za Siasa

CCM yakemea ufisadi, yaipa kibarua TAKUKURU

Spread the love  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimekemea vitendo vya ubadhirifu wa...

Habari za Siasa

Bajeti ya Ikulu 2024/25 kuongezeka, bunge laombwa kurudhia Sh. 1.1 trilioni

Spread the love  WIZARA ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa...

error: Content is protected !!