Wednesday , 8 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Watu 150 wahofiwa kufa ziwani
Kimataifa

Watu 150 wahofiwa kufa ziwani

Ziwa Kivu
Spread the love

WATU 150 wanahofiwa kufa baada ya boti walilokuwa wanasafiria kuzama kwenye Ziwa Kivu, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea).

Taarifa ya tukio hilo imethibitishwa na Rais wa Congo-DRC, Felix Tshisekedi jana terehe 16 Aprili 2019 kupitia akaunti yake ya mtandao wa Twitter.

Katika andiko lake hilo, Rais Tshisekedi alitoa salamu za pole huku akielezwa kusikitishwa kwake na mkasa huo.

Gavana wa Mkoa wa Mashambani wa Tshupa Kaskazini mwa Congo alinukuliwa na vyombo vya habari akisema tukio hilo limetokea katika Ziwa Kivu karibu na eneo la Kalehe  jioni ya Jumatatu tarehe 15 Aprili 2019.

 Kwa mujibu wa taarifa ya za vyombo vya habari nchini Congo-DRC, miili ya watu watatu imeopolewa, na manusura 33 katia kadhia hiyo imeokolewa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Israel yatia shubiri Gaza wakisherehekea Hamas kusitisha mapigano

Spread the loveWAKATI kundi la Hamas huko Gaza likitangaza kuridhia pendekezo lao...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Mbivu, mbichi urais wa Ramaphosa mwezi huu

Spread the loveMWISHONI mwa mwezi huu, raia wa Afrika Kusini watapiga kura...

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

error: Content is protected !!