Tuesday , 7 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Rais Kagame ‘bosi’ mpya EAC
Kimataifa

Rais Kagame ‘bosi’ mpya EAC

Spread the love

RAIS wa Rwanda, Paul Kagame amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa Kununua ya Africa Mashariki (EAC). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Wajumbe wa mkutano huo leo tarehe 1 Februari 2019 wamemchagua Rais Kagame kushika nafasi hiyo baada ya Rais Yower Museveni wa Uganda kumaliza muda wake.

Rais Kagame amewahakikishia wajumbe wa mkutano huo uliofanyika Arusha kwamba, ataitende haki nafasi hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Israel yatia shubiri Gaza wakisherehekea Hamas kusitisha mapigano

Spread the loveWAKATI kundi la Hamas huko Gaza likitangaza kuridhia pendekezo lao...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Mbivu, mbichi urais wa Ramaphosa mwezi huu

Spread the loveMWISHONI mwa mwezi huu, raia wa Afrika Kusini watapiga kura...

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

error: Content is protected !!