Monday , 6 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Ujumbe wa manung’uniko, kilio kusomwa makanisani
Habari MchanganyikoTangulizi

Ujumbe wa manung’uniko, kilio kusomwa makanisani

Askofu Mkuu wa KKKT Askofu Dk. Frederick Shoo
Spread the love

LEO si Sikukuu ya Krismasi ambapo waumini Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) zaidi Mil 6.5 wanatarajia kusomewa waraka huo uliobeba manung’uniko, majonzi kulingana na hali ilivyo kwa sasa. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Waraka huo uliotolewa na Mkuu wa KKKT, Askofu Frederick Shoo utasomwa leo kwenye makanisa hayo ukijikita katika kuishauri serikali kusimamia haki ili hupunguza manung’uniko kwa Wananchi.

Ujumbe huo unaonesha namna wananchi wanavyopoteza matumaini huku wakijaa manung’uniko kutokana na hali zao za maisha.

Umeeleza namna jamii inavyopita kwenye changamoto kubwa ikiwa ni pamoja na vitendo vya ubakaji, ukeketaji pia ndoa za utoni na kila aina ya mateso.

Dk. Shoo ameeleza kuwa, matatizo mengine yanatokana na umasikini wa Wananchi unaosababisha kuibuka kwa manung’uniko na hofu katika maisha ya Watanzania hivyo kuoelekea kukosa matumaini.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

AfyaHabari Mchanganyiko

Huduma za kibingwa zazinduliwa katika hospitali za halmashauri 184

Spread the loveSERIKALI imezindua huduma za matibabu za kibingwa katika hospitali 184...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Wizara ya Uchukuzi yaomba kuongezewa bajeti na Bunge

Spread the loveWIZARA ya Uchukuzi imeliomba Bunge liidhinishe bajeti yake kwa mwaka...

Habari Mchanganyiko

Prof. Mbarawa aanika mafanikio ya TMA

Spread the loveSHUGHULI za Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), zimeimarika...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Serikali kutafuta mwekezaji mwingine Bandari ya Dar es Salaam

Spread the loveSERIKALI inaendelea kutafuta mwekezaji mwingine atakayeendesha gati namba nane hadi...

error: Content is protected !!