Tuesday , 30 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli amteua Mkurugenzi wa PBPA
Habari za Siasa

Rais Magufuli amteua Mkurugenzi wa PBPA

Rais John Magufuli
Spread the love

DAKTARI Lutengano Mwakahesya ameteuliwa na Rais John Magufuli kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri wa Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA). Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi na kusambazwa kwa vyombo vya habari na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu, uteuzi wa Dk. Mwakahesya umeanza tarehe 21 Novemba 2018.

“Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi imeeleza kuwa uteuzi wa Dk. Mwakahesya umeanza tarehe 21 Novemba 2018,” inaeleza sehemu ya taarifa hiyo.

Dk. Mwakahesya aliwahi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ambapo alistaafu mwezi Juni 2016.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Mavunde aomba bilioni 231.9 bajeti wizara ya madini

Spread the loveWAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde leo Jumanne amewasilisha hotuba ya...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Fatma Karume kuhusu Rais Samia

Spread the love  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa: Watanzania iungeni mkono Chadema uchaguzi 2025

Spread the loveMWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amewataka watanzania wakiunge...

Habari za SiasaTangulizi

Samia ataja miradi ambayo Tanzania inashirikiana na IDA

Spread the loveRais wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu amehutubia...

error: Content is protected !!