Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli amteua Mkurugenzi wa PBPA
Habari za Siasa

Rais Magufuli amteua Mkurugenzi wa PBPA

Rais John Magufuli
Spread the love

DAKTARI Lutengano Mwakahesya ameteuliwa na Rais John Magufuli kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri wa Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA). Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi na kusambazwa kwa vyombo vya habari na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu, uteuzi wa Dk. Mwakahesya umeanza tarehe 21 Novemba 2018.

“Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi imeeleza kuwa uteuzi wa Dk. Mwakahesya umeanza tarehe 21 Novemba 2018,” inaeleza sehemu ya taarifa hiyo.

Dk. Mwakahesya aliwahi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ambapo alistaafu mwezi Juni 2016.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!