Friday , 9 June 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli amteua Mkurugenzi wa PBPA
Habari za Siasa

Rais Magufuli amteua Mkurugenzi wa PBPA

Rais John Magufuli
Spread the love

DAKTARI Lutengano Mwakahesya ameteuliwa na Rais John Magufuli kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri wa Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA). Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi na kusambazwa kwa vyombo vya habari na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu, uteuzi wa Dk. Mwakahesya umeanza tarehe 21 Novemba 2018.

“Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi imeeleza kuwa uteuzi wa Dk. Mwakahesya umeanza tarehe 21 Novemba 2018,” inaeleza sehemu ya taarifa hiyo.

Dk. Mwakahesya aliwahi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ambapo alistaafu mwezi Juni 2016.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Lussu: Mkataba wa DP bandarini si wa miaka 100

Spread the loveMAKAMU Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, amesema hakuna ukweli wowote...

Habari za SiasaTangulizi

Maulid Mtulia: Kutoka ubunge hadi U-DAS

Spread the love ALIYEKUWA mbunge wa Kinondoni, kupitia vyama vya The Civil...

Habari za Siasa

Lusinde: CCM hatuliachii ng’o jimbo la Moshi Mjini

Spread the loveMJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (NEC), Livingston...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar: Bakharesa hajavamia shamba letu

Spread the love  IKULU Visiwani Zanzibar, imeeleza kuwa eneo la kiwanda cha...

error: Content is protected !!