Saturday , 4 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Wanajeshi 10 wahukumiwa kwa mauaji, ubakaji
Kimataifa

Wanajeshi 10 wahukumiwa kwa mauaji, ubakaji

Spread the love

MAHAKAMA ya kijeshi nchini Sudan Kusini imewahukumu wanajeshi 10 vifungo vya kati ya miaka saba na maisha kwa makosa ya mauaji na ubakaji. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Wanajeshi hao wamekutwa na hatia ya makosa hayo waliyoyatenda mwaka 2016 kwenye ghasia zilizotokana na shambulizi liliofanyika katika hoteli ya Terrain iliyoko mji mkuu wa Sudan Kusini, Juba.

Katika ghasia hizo, mwandishi wa habari John Gatluak aliuawa, na wafanyakazi wa kutoa huduma za kibinadamu walibakwa.

Tukio hilo lilikuwa baya zaidi dhidi ya raia wa kigeni  tangu Wanajeshi wa Sudan Kusini kutuhumiwa kuendesha uhalifu mara kadhaa tangu yazuke mapigano ya wenyewe kwa wenyewe mwaka 2013.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

error: Content is protected !!