Thursday , 9 May 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa China kutoa msaada wa Bil 60
Kimataifa

China kutoa msaada wa Bil 60

Rais wa China Xi Jinping
Spread the love

RAIS wa China, Xi Jinping amesema serikali yake itatoa dola za kimarekani 60 bilioni katika mpango wake wa miaka mitatu wa ushirikiano na Afrika katika shughuli za maendeleo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Rais Jinping ametoa ahadi hiyo leo Septemba 03 ,2018 wakati akifungua Mkutano wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) unaofanyika jijini Beijing nchini China.

Fedha hizo zinatarajiwa kusaidia bara la Afrika katika shughuli za ujenzi wa miundombinu, ushirikiano katika sekta ya biashara na huduma za afya.

Vile vile, Rais Jinping ameahidi kwamba nchi yake itatoa ushirikiano katika kuimarisha amani ya kudumu Afrika, hatua ambayo ni muhimu kwa ustawi wa nchi za Afrika.

Kadhalika, Rais Jinping amesema China itatoa nafasi za mafunzo ya kilimo bora na mafunzo ya ufundi kwa watalaam kutoka nchi za Afrika ili kuchangia katika maendeleo ya uchumi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Israel yatia shubiri Gaza wakisherehekea Hamas kusitisha mapigano

Spread the loveWAKATI kundi la Hamas huko Gaza likitangaza kuridhia pendekezo lao...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Mbivu, mbichi urais wa Ramaphosa mwezi huu

Spread the loveMWISHONI mwa mwezi huu, raia wa Afrika Kusini watapiga kura...

Habari za SiasaKimataifa

Mwanamke Rwanda ataka kupambana tena na Kagame

Spread the loveKIONGOZI wa kihistoria wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

error: Content is protected !!