Friday , 3 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Chadema wateua wa kupambana na Waitara, Kalanga
Habari za Siasa

Chadema wateua wa kupambana na Waitara, Kalanga

Spread the love

CHAMA cha Chadema kimeteua wagombea ubunge katika majimbo matatu yaliyoachwa wazi baada ya wabunge wawili kujiuzulu na mmoja kufariki. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Uteuzi huo umefanywa leo tarehe 17 Agosti, 2018 na Kamati Kuu ya Chadema na kutangazwa na Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano Chadema, Tumaini Makene.

Kamati hiyo iliyoketi kwa muda wa siku mbili, imemteua Asia Msangi kuwa mgombea kwenye Jimbo la Ukonga, Yonas Laiser amechaguliwa kukiwakilisha chama hicho katika jimbo la Monduli na Amina Saguti ameteuliwa kugombea Korogwe Vijijini.

Katika majimbo hayo, mawili yalikuwa yanashikiliwa na makada wa Chadema akiwemo Mwita Waitara (Ukonga) na Julius Kalanga (Monduli) ambao hivi karibuni walijivua uanachama wa chama hicho na kujiuzulu ubunge.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumshtaki Rais Samia

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetishia kumfungulia kesi ya...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza uchaguzi mdogo Jimbo la Kwahani

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi, imetangaza uchaguzi mdogo...

AfyaHabari za Siasa

Dk. Biteko aagiza utoaji huduma saratani usiwe wa kibaguzi

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

error: Content is protected !!